,,

,,

Thursday, May 8, 2014

Picha:Kill Music Awards 2014 Ukumbini(Diamond aibuka kuwa kinara wa tuzo Saba,Fid Q na Weusi watamba kwenye Hip Hop)

Tuzo za Muziki za Tanzania zinazodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Lage (KTMA2014), zilifanyika jana Mei 3 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam ambapo Diamond Platinumz aliibuka kuwa mshindi wa tuzo saba.

Diamond alishinda tuzo ya Muimbaji bora wa kiume-Kizazi kipya,Video bora ya mwaka (My Number One), mtumbuizaji bora wa kiume –Kizazi kipya, Mtunzi bora wa mwaka – Kizazi Kipya, Wimbo bora wa Afro Pop, Wimbo bora wa mwaka na Wimbo bora wa kushirikiana alioshirikishwa na Nay wa Mitego (Muziki Gani).

 Angalia picha mbalimbali za washindi wa tuzo za #KTMA2014 na wasanii waliotumbuiza pamoja na watu waliohudhuria wakiwepo mastaa.











No comments:

Post a Comment