Tuzo za Muziki za Tanzania zinazodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Lage (KTMA2014), zilifanyika jana Mei 3 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam ambapo Diamond Platinumz aliibuka kuwa mshindi wa tuzo saba.
Angalia picha mbalimbali za washindi wa tuzo za #KTMA2014 na wasanii waliotumbuiza pamoja na watu waliohudhuria wakiwepo mastaa.
7
No comments:
Post a Comment